Back to Search
ISBN 9781495925887 is currently unpriced. Please contact us for pricing.
Available options are listed below:

Yesu Pekee

AUTHOR Ford, Desmond
PUBLISHER Createspace Independent Publishing Platform (02/20/2014)
PRODUCT TYPE Paperback (Paperback)

Description
Kitabu hiki kinalenga Kristo, msalaba, na injili. Kinazingatia utimilikaji wa ahadi ya mungu iliyofanywa sawa kwa zaidi ya miaka elfu tatu iliyopita. Mungu aliahidi ya kwamba ataishi na kutembea pamoja nasi, na kuwa angekuwa mungu wetu nasi kuwa watu wake. Ahadi hiyo ilitimilika ndani ya Yesu ambaye alikuwa Mungu pamoja nasi. Yesu alikuja kutuonyesha vile mungu alivyo. Alitwaa dhambi zetu na kujivika, na pale msalabani alilaaniwa na kuhukumiwa kwazo ili sisi tuwe huru kutokana na hiyo hukumu. Na hivyo ndivo mungu alivyo. Katika kitabu hiki "Yesu pekee," kuna vito vya injili ambavyo havipatikani kwingineko- vito ambavyo vinakutia shime kumtukuza mungu kwa upendo na hekima yake kuu. Daktari Desmond Ford ameandika vitabu vingi kuhusu injili ya Kristo. Taasisi yake 'Good News Unlimited', inachapisha jarida, inatoa mahubiri ya video kwenye mtandao, na inadhamini huduma za ibada.
Show More
Product Format
Product Details
ISBN-13: 9781495925887
ISBN-10: 1495925889
Binding: Paperback or Softback (Trade Paperback (Us))
Content Language: Swahili
More Product Details
Page Count: 122
Carton Quantity: 64
Product Dimensions: 5.50 x 0.26 x 8.50 inches
Weight: 0.33 pound(s)
Country of Origin: US
Subject Information
BISAC Categories
Religion | Christian Ministry - Discipleship
Descriptions, Reviews, Etc.
publisher marketing
Kitabu hiki kinalenga Kristo, msalaba, na injili. Kinazingatia utimilikaji wa ahadi ya mungu iliyofanywa sawa kwa zaidi ya miaka elfu tatu iliyopita. Mungu aliahidi ya kwamba ataishi na kutembea pamoja nasi, na kuwa angekuwa mungu wetu nasi kuwa watu wake. Ahadi hiyo ilitimilika ndani ya Yesu ambaye alikuwa Mungu pamoja nasi. Yesu alikuja kutuonyesha vile mungu alivyo. Alitwaa dhambi zetu na kujivika, na pale msalabani alilaaniwa na kuhukumiwa kwazo ili sisi tuwe huru kutokana na hiyo hukumu. Na hivyo ndivo mungu alivyo. Katika kitabu hiki "Yesu pekee," kuna vito vya injili ambavyo havipatikani kwingineko- vito ambavyo vinakutia shime kumtukuza mungu kwa upendo na hekima yake kuu. Daktari Desmond Ford ameandika vitabu vingi kuhusu injili ya Kristo. Taasisi yake 'Good News Unlimited', inachapisha jarida, inatoa mahubiri ya video kwenye mtandao, na inadhamini huduma za ibada.
Show More
Paperback