Back to Search

A Fiery Prophet and a People of Wook - Swahili Edition: Mtazamo Wa Ibada Katika Maisha Na Ujumbe Wa Nabii Yeremia

AUTHOR Mac Leod, F. Wayne
PUBLISHER Light to My Path Book Distribution (11/19/2024)
PRODUCT TYPE Paperback (Paperback)

Description
Nabii Wa Moto Na Watu Waliogeuka Kuni

Nabii wa moto, hivyo ndivyo Yeremia alivyokuwa. Ujumbe wake ulichoma wale waliomsikia akisema. Hakuna mtu anayependa kuchomwa moto. Kwa sababu hiyo, wasikilizaji wake walitaka kumuua. Wakamtupa gerezani. Hakuwa na marafiki wengi. Hakuwahi kuoa na hakuwa na watoto wa kuendeleza jina lake. Kwa miaka arobaini, hata hivyo, alitangaza neno la Bwana kwa uaminifu kwa watu ambao waligeuza migongo yao na kuziba masikio yao. Yeye ni mfano wa ibada ya kweli na uvumilivu. Utafiti huu unachunguza matukio muhimu na jumbe za mtu huyu mkuu wa Mungu.

Show More
Product Format
Product Details
ISBN-13: 9781927998588
ISBN-10: 1927998581
Binding: Paperback or Softback (Trade Paperback (Us))
Content Language: Swahili
More Product Details
Page Count: 188
Carton Quantity: 42
Product Dimensions: 5.50 x 0.40 x 8.50 inches
Weight: 0.49 pound(s)
Country of Origin: US
Subject Information
BISAC Categories
Religion | Biblical Biography - Old Testament
Religion | Biblical Meditations - Old Testament
Descriptions, Reviews, Etc.
publisher marketing
Nabii Wa Moto Na Watu Waliogeuka Kuni

Nabii wa moto, hivyo ndivyo Yeremia alivyokuwa. Ujumbe wake ulichoma wale waliomsikia akisema. Hakuna mtu anayependa kuchomwa moto. Kwa sababu hiyo, wasikilizaji wake walitaka kumuua. Wakamtupa gerezani. Hakuwa na marafiki wengi. Hakuwahi kuoa na hakuwa na watoto wa kuendeleza jina lake. Kwa miaka arobaini, hata hivyo, alitangaza neno la Bwana kwa uaminifu kwa watu ambao waligeuza migongo yao na kuziba masikio yao. Yeye ni mfano wa ibada ya kweli na uvumilivu. Utafiti huu unachunguza matukio muhimu na jumbe za mtu huyu mkuu wa Mungu.

Show More
List Price $10.99
Your Price  $10.88
Paperback