Back to Search

Kusadikika

AUTHOR Robert, Shaaban
PUBLISHER Mkuki na Nyota Publishers (12/12/1991)
PRODUCT TYPE Paperback (Paperback)

Description

Kwa zaidi ya miaka kumi na tano vitabu vya mwandishi maarufu kushinda wote katika jamii za Waswahili kote Afrika ya Mashariki na Kati, Marehemu Sheikh Shaaban Robert, havikupatikana Tanzania. Sababu ya kukosekana kwa vitabu hivyo ni kuwa kampuni ya kigeni iliyovichapisha iliamua kuacha kuvichapisha kwa sababu haikulipwa kwa fedha za kigeni jambo, lililosabishwa na hali mbaya ya uchumi. Athari za kupotea kwa vitabu vya Sheikh Shaaban Robert katika miaka hiyo ni kwamba Watanzania wengi hasa wale wenye umri chini ya miaka thelathini, hawamjui mwandishi huyu maarufu na hawakulelewa katika mazingira ya utajiri wa maandishi yake ambayo bila shaka yoyote ni mfano pekee wa utajiri wa urithi wa utamaduni wetu. Kwa kuvichapisha vitabu vya Marehemeu Sheikh Shaaban Robert tunawakaribisha tena Watanzania, hasa vijana kuvisoma, kuburudishwa na kufunzwa na yale aliyoyaandika kwa sanaa na kipaji adimu.

First published at the height of colonial occupation, this is an allegorical work of an imaginary country or state in which injustices are perpetrated against all notions of justice, law and humanity. From the master of Swahili language and culture.

Show More
Product Format
Product Details
ISBN-13: 9789976973105
ISBN-10: 9976973101
Binding: Paperback or Softback (Trade Paperback (Us))
Content Language: Swahili
More Product Details
Page Count: 72
Carton Quantity: 114
Product Dimensions: 5.06 x 0.15 x 7.81 inches
Weight: 0.17 pound(s)
Country of Origin: US
Subject Information
BISAC Categories
Unassigned | Political
Descriptions, Reviews, Etc.
publisher marketing

Kwa zaidi ya miaka kumi na tano vitabu vya mwandishi maarufu kushinda wote katika jamii za Waswahili kote Afrika ya Mashariki na Kati, Marehemu Sheikh Shaaban Robert, havikupatikana Tanzania. Sababu ya kukosekana kwa vitabu hivyo ni kuwa kampuni ya kigeni iliyovichapisha iliamua kuacha kuvichapisha kwa sababu haikulipwa kwa fedha za kigeni jambo, lililosabishwa na hali mbaya ya uchumi. Athari za kupotea kwa vitabu vya Sheikh Shaaban Robert katika miaka hiyo ni kwamba Watanzania wengi hasa wale wenye umri chini ya miaka thelathini, hawamjui mwandishi huyu maarufu na hawakulelewa katika mazingira ya utajiri wa maandishi yake ambayo bila shaka yoyote ni mfano pekee wa utajiri wa urithi wa utamaduni wetu. Kwa kuvichapisha vitabu vya Marehemeu Sheikh Shaaban Robert tunawakaribisha tena Watanzania, hasa vijana kuvisoma, kuburudishwa na kufunzwa na yale aliyoyaandika kwa sanaa na kipaji adimu.

First published at the height of colonial occupation, this is an allegorical work of an imaginary country or state in which injustices are perpetrated against all notions of justice, law and humanity. From the master of Swahili language and culture.

Show More
List Price $28.88
Your Price  $28.59
Paperback