Kiswahili Kwa Wageni: Kiongozi Cha Mwalimu
| AUTHOR | Mahenge, Elizabeth Godwin |
| PUBLISHER | Dl2a Buluu Publishing France (09/24/2015) |
| PRODUCT TYPE | Paperback (Paperback) |
Description
Kitabu hiki cha kiongozi cha mwalimu, kimekusudia kuwa mwongozo kwa ajili ya kuwafundisha wageni. Kitabu kinamwelekeza mwalimu namna ya kumfundisha mwanafunzi wa kiwango cha kwanza, cha pili, na cha tatu. Katika kila hatua ya kumfundisha mwanafunzi lugha ya Kiswahili, kumetumika mbinu mahsusi ili kuhakikisha mwanafunzi anafunzwa kwa umahiri mkubwa na anapata stadi ya kimawasiliano ya lugha ya Kiswahili. Kitabu hiki ni muhimu kwa mtu yeyote anayetaka kufundisha lugha ya Kiswahili kwa wageni.
Show More
Product Format
Product Details
ISBN-13:
9791092789270
Binding:
Paperback or Softback (Trade Paperback (Us))
Content Language:
Swahili
More Product Details
Page Count:
154
Carton Quantity:
50
Product Dimensions:
6.00 x 0.33 x 9.00 inches
Weight:
0.47 pound(s)
Country of Origin:
US
Subject Information
BISAC Categories
Language Arts & Disciplines | Study & Teaching
Descriptions, Reviews, Etc.
publisher marketing
Kitabu hiki cha kiongozi cha mwalimu, kimekusudia kuwa mwongozo kwa ajili ya kuwafundisha wageni. Kitabu kinamwelekeza mwalimu namna ya kumfundisha mwanafunzi wa kiwango cha kwanza, cha pili, na cha tatu. Katika kila hatua ya kumfundisha mwanafunzi lugha ya Kiswahili, kumetumika mbinu mahsusi ili kuhakikisha mwanafunzi anafunzwa kwa umahiri mkubwa na anapata stadi ya kimawasiliano ya lugha ya Kiswahili. Kitabu hiki ni muhimu kwa mtu yeyote anayetaka kufundisha lugha ya Kiswahili kwa wageni.
Show More
List Price $7.00
Your Price
$6.93
