Back to Search

Maisha ya Kutotii na Maisha ya Kutii(Swahili Edition)

AUTHOR Lee, Jaerock
PUBLISHER Urim Books USA (02/19/2024)
PRODUCT TYPE Paperback (Paperback)

Description

Katika kitabu hiki kumewekwa taswira ya kupingana, maisha ya Farao, aliyekosa kutii neno la Mungu, na maisha ya Musa aliyeishi maisha ya utiifu. Pia kina upendo wa Mungu ambaye kwa huruma zake zisizo na mwisho hutujuza njia ya wokovu kupitia kwa kusherehekea Pasaka, sheria ya tohara, na maana ya Siku Kuu ya Mikate Isiyochachwa.

Farao alishuhudia uwezo wa Mungu lakini bado akakosa kumtii, na hivyo akaanguka katika hali isiyoweza kurudishwa nyuma. Lakini Waisraeli walikuwa salama kutoka kwa mabaa yote kwa sababu walimtii Mungu.

Show More
Product Format
Product Details
ISBN-13: 9791126312542
Binding: Paperback or Softback (Trade Paperback (Us))
Content Language: Swahili
More Product Details
Page Count: 174
Carton Quantity: 44
Product Dimensions: 5.50 x 0.37 x 8.25 inches
Weight: 0.44 pound(s)
Country of Origin: US
Subject Information
BISAC Categories
Religion | Christian Living - Personal Growth
Descriptions, Reviews, Etc.
publisher marketing

Katika kitabu hiki kumewekwa taswira ya kupingana, maisha ya Farao, aliyekosa kutii neno la Mungu, na maisha ya Musa aliyeishi maisha ya utiifu. Pia kina upendo wa Mungu ambaye kwa huruma zake zisizo na mwisho hutujuza njia ya wokovu kupitia kwa kusherehekea Pasaka, sheria ya tohara, na maana ya Siku Kuu ya Mikate Isiyochachwa.

Farao alishuhudia uwezo wa Mungu lakini bado akakosa kumtii, na hivyo akaanguka katika hali isiyoweza kurudishwa nyuma. Lakini Waisraeli walikuwa salama kutoka kwa mabaa yote kwa sababu walimtii Mungu.

Show More
List Price $13.00
Your Price  $12.87
Paperback