Back to Search

Nchi Itiririkayo Maziwa na Asali(Swahili Edition)

AUTHOR Lee, Jaerock
PUBLISHER Urim Books USA (02/22/2024)
PRODUCT TYPE Paperback (Paperback)

Description
Tunapoangalia utaratibu huo wa Kutoka, miaka arobaini nyikani, kuvuka Mto wa Yordani na kushinda mji wa Yeriko na kisha Nchi ya Kanaani, tunaweza kuona safari ya maisha ya kupokea wokovu na kusonga mbele kuelekea ufalme wa mbinguni.

Mungu aliwatoa Waisraeli kutoka Misri na akawaongoza hadi Nchi ya Kanaani, Itiririkayo maziwa na asali. Vivyo hivyo, anataka kila mtu awe na imani ya kweli na afurahie pumziko la milele katika ufalme mzuri wa mbinguni. Zaidi ya hayo, anataka kila mmoja wetu awe na imani inayompendeza Mungu ili tuweze kupokea majibu ya kila kitu tunachoomba na tufanye mambo yote kwa uwezo wake.


Show More
Product Format
Product Details
ISBN-13: 9791126312597
Binding: Paperback or Softback (Trade Paperback (Us))
Content Language: Swahili
More Product Details
Page Count: 226
Carton Quantity: 34
Product Dimensions: 5.50 x 0.48 x 8.25 inches
Weight: 0.57 pound(s)
Country of Origin: US
Subject Information
BISAC Categories
Religion | Christian Living - Personal Growth
Descriptions, Reviews, Etc.
publisher marketing
Tunapoangalia utaratibu huo wa Kutoka, miaka arobaini nyikani, kuvuka Mto wa Yordani na kushinda mji wa Yeriko na kisha Nchi ya Kanaani, tunaweza kuona safari ya maisha ya kupokea wokovu na kusonga mbele kuelekea ufalme wa mbinguni.

Mungu aliwatoa Waisraeli kutoka Misri na akawaongoza hadi Nchi ya Kanaani, Itiririkayo maziwa na asali. Vivyo hivyo, anataka kila mtu awe na imani ya kweli na afurahie pumziko la milele katika ufalme mzuri wa mbinguni. Zaidi ya hayo, anataka kila mmoja wetu awe na imani inayompendeza Mungu ili tuweze kupokea majibu ya kila kitu tunachoomba na tufanye mambo yote kwa uwezo wake.


Show More
List Price $14.00
Your Price  $13.86
Paperback