Back to Search

Ongeza ufahamu wako kuhusu maombi

AUTHOR Aswile, Samuel
PUBLISHER Samuel Aswile (10/07/2024)
PRODUCT TYPE Paperback (Paperback)

Description

Kitabu hiki ni matokeo ya somo tulio kuwa tunajifunza katika semina ya neno la Mungu . Roho mtakafu ameweka msukumo ndani yangu nikushirikishe somo hili kwa njia ya kitabu hiki.

Ukiwa umesoma mpaka sentensi hii basi umekuwa sehemu ya wale walio teuliwa kuijua siri ya maombi kupitia kitabu hiki, nakushi sana ukisoma kitabu hiki.

Ndani ya kitabu hiki utanifunza mambo mengi, ikiwemo kupata majibu ya maswali ambayo waamini wengi hujiuliza kuhusu maombi wamwombayo Mubgu kama:

kama: ?????????

  1. kwa nini tunaomba Mungu ikiwa Mungu anatupenda?.
  2. Je Maombi hujibiwa na Mungu?.
  3. Nani anapaswa kuwa mwombaji?.

4. Je naweza kuomba chochote nikapewa?.

Haya ni badhi tu ya maswali unayoweza kupata majibu yake ndani ya kitabu hiki. Kuna mengi sana utajifunza kuhusu imani ya kikristo.

Karibu tujifunze pamoja kusudi upate kuijua siri ya maombi ukue kiroho.

Show More
Product Format
Product Details
ISBN-13: 9798227120762
Binding: Paperback or Softback (Trade Paperback (Us))
Content Language: Swahili
More Product Details
Page Count: 166
Carton Quantity: 44
Product Dimensions: 5.50 x 0.38 x 8.50 inches
Weight: 0.48 pound(s)
Country of Origin: US
Subject Information
BISAC Categories
Religion | Prayer
Religion | Prayerbooks - Christian
Religion | Christian Living - Prayer
Descriptions, Reviews, Etc.
publisher marketing

Kitabu hiki ni matokeo ya somo tulio kuwa tunajifunza katika semina ya neno la Mungu . Roho mtakafu ameweka msukumo ndani yangu nikushirikishe somo hili kwa njia ya kitabu hiki.

Ukiwa umesoma mpaka sentensi hii basi umekuwa sehemu ya wale walio teuliwa kuijua siri ya maombi kupitia kitabu hiki, nakushi sana ukisoma kitabu hiki.

Ndani ya kitabu hiki utanifunza mambo mengi, ikiwemo kupata majibu ya maswali ambayo waamini wengi hujiuliza kuhusu maombi wamwombayo Mubgu kama:

kama: ?????????

  1. kwa nini tunaomba Mungu ikiwa Mungu anatupenda?.
  2. Je Maombi hujibiwa na Mungu?.
  3. Nani anapaswa kuwa mwombaji?.

4. Je naweza kuomba chochote nikapewa?.

Haya ni badhi tu ya maswali unayoweza kupata majibu yake ndani ya kitabu hiki. Kuna mengi sana utajifunza kuhusu imani ya kikristo.

Karibu tujifunze pamoja kusudi upate kuijua siri ya maombi ukue kiroho.

Show More
List Price $11.99
Your Price  $11.87
Paperback